NMB wametisha!! wamezindua kitu kinaitwa Chap chap akaunti kwa ajili ya Watanzania wasio na akaunti
Mheshimiwa
waziri wa fedha Dk William Mgimwa akichukuliwa alama za vidole na Ofisa
mauzo ya Nje NMB Abdul Kandoro mara baada ya uzinduzi rasmi wa NMB chap
chap akaunti mwishoni mwa wiki mkoani Dodoma
Mambo muhimu zaidi ambayo mteja wa Chap Chap anaweza kufaidika nayo ni pamoja na kuona salio la akaunti yako popote ulipo, kuweka fedha na kutoa fedha kwa mawakala wa M- pesa, kutuma fedha kwa wasio na akaunti mahali popote nchini kwa kutumia huduma ya Pesa Fasta, kununua vocha za muda wa maongezi kutoka kwenye mtandao wowote wa simu, kuchukua fedha hadi shillingi 1.000,000/= kutoka kwenye ATM
0 comments:
Post a Comment